Home » » MVUA YAPANDISHA UMEME

MVUA YAPANDISHA UMEME

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

UKOSEFU wa mvua umetajwa kuwa ni sababu inayochangia kupanda kwa gharama za umeme nchini.
Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura-CCC), Profesa Jamidu Katima, alitoa kauli hiyo mjini hapa alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya Siku ya Maji duniani.
Alisema kupanda kwa gharama ya umeme hakuwezi kukwepeka kutokana na ukosefu wa mvua ya kutosha, hivyo kulazimika kutumia mafuta kuendesha mitambo ya kuzalisha nishati hiyo ambayo ni ghali.
Chanzo:Tanzania Daima

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa