Home » » SITTA ATAKIWA KUFUATA KANUNI

SITTA ATAKIWA KUFUATA KANUNI

Sitta atakiwa kufuata kanuniBAADHI ya wananchi wa Mji wa Dodoma wamemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuhakikisha anaendesha Bunge hilo kwa kufuata kanuni na taratibu zilizopitishwa na wajumbe.
Aidha, wamesema hakuna sababu yoyote ya kujadili mambo ya katiba kwa misingi ya kuingiza itikadi za vyama vya siasa badala yake wazingatie masilahi ya nchi.
Akizungumza na Tanzania Daima jana, mmoja wa wananchi, Upendo Mollel, alisema katiba ni jambo nyeti, hivyo isifanyiwe mzaha.
Chanzo:Tanzania Daima

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dodoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa